×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi pwani wakisia Kenya iwatume wanajeshi Uganda dhidi ya dikteta Museveni

26th August, 2018

Naibu Gavana wa mombasa, wabunge wawili na shirika la haki africa sasa wanataka nchi ya uganda kukombolewa kwakile wanachotaja kama uongozi wa kiimla baada ya kukamatwa na kuzuiliwa kwa mwanamuziki mashuhuri ambaye pia ni mbunge Robert Kyagulanyi, maarufu kama bobi wine. viongozi hao wamesema kuwa ikiwa hatua hazitachukuliwa  huenda tatizo hilo likaenea maeneo mengine afrika. walizungumza hivi leo katika mkesha wa kuwasha mishuma  ya kumkumbuka Bobi Wine.

 

 

.
RELATED VIDEOS