×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Zaidi ya familia 50 kukesha kwenye baridi baada ya nyumba zao kubomolewa Uasin Gishu

24th August, 2018

Zaidi ya familia 50  ya maskwota watalazimika kukesha kwenye kijibaridi  baada ya nyumba zao kubomolewa na maafisa wa polisi katika eneo la block ten kaunti ya Uasin Gishu. 

Familia hizo sasa hazina pa kwend huku wakilalamikia jinsi maafisa hao walitumia nguvu kupita kiasi ili kuwafurusha.

.
RELATED VIDEOS