24th August, 2018
Zaidi ya familia 50 ya maskwota watalazimika kukesha kwenye kijibaridi baada ya nyumba zao kubomolewa na maafisa wa polisi katika eneo la block ten kaunti ya Uasin Gishu.
Familia hizo sasa hazina pa kwend huku wakilalamikia jinsi maafisa hao walitumia nguvu kupita kiasi ili kuwafurusha.