×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Changamoto la kuhifadhi tembo nchini Kenya | LEO MASHINANI

23rd August, 2018

Hapo jana ulimwengu uliadhimisha siku ya kimataifa kuhusu ndovu kauli mbiu ikiwa ni kuleta ulimwengu pamoja kwa madhumuni ya kuwasaidia wanyama hawa. 
Siku hii ambayo huadhimishwa Agosti kumi na mbili imetengwa ili kutoa hamasisho kuhusu jinsi ya kuwalinda na kuwatunza ndovu kote duniani. 
Katika miaka ya hivi karibuni Taifa la kenya limekuwa likiweka mikakati ya kuongeza idadi ya ndovu katika mbuga zake. 
Kulingana na hesabu ya ndovu iliyofanywa mwaka jana katika mbuga za laikipia, meru, Samburu na  marsabit idadi ya ndovu humu nchini ilikuwa ni 15,317 ikilinganishwa na ndovu 14,411 waliokuwepo mwaka 2012.

.
RELATED VIDEOS