20th August, 2018
Sakata ya rushwa bungeni kuhusu ripoti ya uagizaji wa sukari ya magendo inazidi kuwaandamana wabunge ambao wanadaiwa kupokea shilingi alfu kumi kupinga ripoti ya kamati ya bunge iliyokuwa ikichunguza sakata hiyo.
Sasa mbunge wa taveta Dr. Naomi Shaaban aishutumu kamati iliyotayarisha ripoti hiyo kwa kufanya kazi duni na kukanusha madai kuwa yeye ni mmoja wa wabunge waliopokea hongo kuipinga ripoti hiyo.