18th August, 2018
Rais uhuru kenyatta, kiongozi wa ODM Raila Odinga na Rais mstaafu Daniel Toroitich Arap MKoi wametuma risala za rambirambi kwa familia ya mwendazake Koffi Annan.
Katika taarifa kwa vyombo vya habari Moi amesema kuwa amehuzunishwa na kifo cha Annan na kutaja kuwa Afrika nzima imepata pigo kubwa sawa na dunia. Ameongeza kuwa alikuwa mfanyikazi mtifuu aliyependa kuwa mpatanishi wa amani mizozo ilipoibuka.
Aidha amesema mchango wa Annan katika ngazi ya diplomasia ni mkubwa sana