17th August, 2018
Wenyeji wa mtaa wa Runda wamepinga ujenzi wa bwawa la mtu binafsi katika eneo hilo. Kupitia shirika linaloangazia maswali ya wakazi wa mtaa wa runda, zaidi ya wenyeji mia mbili wameiandikia serikali ya kaunti ya nairobi wakielezea hatari itakayosababishwa na ujenzi wa bwawa hilo ikiwa ni pamoja na kuzuka kwa maradhi ya malaria.