×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakazi wa Isiolo walalamikia muda mrefu wa kujenga barabara

14th August, 2018

Wakaazi wa eneo la kinna Kaunti ya Isiolo wanalalamikia muda mrefu unaotumiwa kujenga barabara ya gabartula?kinna?mulika, kutoajiriwa kwa vijana katika shughuli nzima ya ujenzi huo pamoja na kunyanyaswa kwa jamii hiyo na maafisa wakuu wa kampuni iliyopewa kandarasi ya ujenzi wa barabara hiyo. 

Kulingana na wakazi hao, ni umbali wa kilomita sabini za barabara hiyoambazo zinafaa kujengwa, lakini ni umbali wa kilomita saba tu ambao umekamilikakwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja. Sasa wanahofia huenda shughuli hiyo ya ujenzi isikamilika katika muda uliokuwa unafaa wa miaka mitatu.  

.
RELATED VIDEOS