13th August, 2018
Polisi wanachunguza kisa ambapo dereva wa mbunge wa
Likuyani Dr. Enoch Eibunguchy aliuawawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo katika eneo la Soy kwenye barabara ya Eldoret kuelekea Kitale. Inaarifiwa kuwa huenda wavamizi hao walikuwa wakimlenga .