12th August, 2018
Kundi moja la wanaharakati wanaojihusisha na utunzi wa mazingira na haki za jamii, sasa linadai kwamba ripoti ilyotolewa hivi majuzi kuhusu chanzo cha vifo vya vifaru waliokuwa wakisafirishwa kutoka nairobi hadi mbuga ya Tsavo, ilikusudia kuwaharibia jina madaktari wa mifugo nchini Kenya. Kundi hilo kwa jina, Kenyans4KWS, sasa linasema ni lazima shirika la KWS lipewe fedha za kutosha ili kuboresha utendakazi wake