Kocha wa Tunisia asema kwamba timu yake iko tayari kuchuana na timu ya raga ya Simba
10th August, 2018
Kocha wa timu ya taifa ya raga Tunisia amewaonya Kenya Simbas kwamba vijana wake wapo ngangari na watafanya kila wawezalo kuchukua ushindi katika mechi ya kombe la gold cup Afrique