×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mzozo wa eneo la Makina laanza katika kaunti ya Taita Taveta

10th August, 2018

Viongozi kutoka kaunti ya Taita Taveta wamekariri kuwa eneo la makina lipo katika ngome yao. Eneo hilo limekuwa likikumbwa na utata wa mpaka kiasi cha baadhi ya wakazi kukosa huduma muhimu ilihali. Hata hivyo katika taarifa kwa vyombo vya habari kaunti ya kwale imemshutumu gavana samboja kuandaa mkutano huo na kushikilia kuwa makina inasalia kuwa sehemu ya kwale. Je kuna nani?

 

.
RELATED VIDEOS