×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu watatu wafariki katika ajali ya barabarani Machakos

10th August, 2018

Watu watatu wamefariki huku wengine kumi na wawili wakijeruhiwa vibaya baada ya kuhusika kwenye ajali ya barabarani iliyotokea katika barabara kuu ya Mombasa. Ajali hiyo iliyohusisha magari manne ilitokea mwendo wa saa tano usiku wa jana. Kulingana na kamanda wa kaunti ya Machakos Samuel Mukhindia majeruhi wanaendelea kupata matibabu katika hospitali ya machakos level 5.

 

.
RELATED VIDEOS