×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafugaji wa Samburu watafuta soko la ng'ombe

7th August, 2018

Wafugaji katika eneo la Samburu wanakadiria hasara baada ya kukosa soko la kuuza mifugo wao. Wafugaji hao wamesema  soko la mifugo limeporomoka  baada ya mawakala  kukoma kuja kununua mifugo wao. Sasa wafugaji hao wanalazimika kutembea zaidi ya kilomita mia moja kutoka maeneo ya baragoi kutafuta soko la kuuza ng'ombe wao.

.
RELATED VIDEOS