×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali imechelewa kuigiza dawa zinazozuiliwa JKIA

6th August, 2018

Wakenya milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya kupofuka  kutokana na mzozo wa uagizaji wa dawa  za thamani ya shilingi bilioni nne zilizotolewa kama msaada na shirika moja nchini marekani. Taarifa zinasema  dawa hizo zinazopaswa kuwasaidia watu maskini katika  12 zimekuwa zikizuiliwa katika uwanja wa ndege wa jomo kenyatta  kwa kipindi cha miezi kumi  baada ya serikali kuchelewa kuidhinisha   dawa hizo kuingizwa humu nchini.

.
RELATED VIDEOS