4th August, 2018
Je wajua kuwa kuna miaka ambayo shilingi moja ya kenya ilikuwa na thamani kubwa sana? Shilingi tano zingekushibisha na hata kukunulia mavazi. Tobias chanji anatusimulia kuhusu thamani ya shilingi enzi hizo za kale katika makala ya juma hili ya zilizopendwa.