27th July, 2018
Mzozo kuhusu umiliki wa bandari ya mombasa unazidi kutokota. Serikali ya kaunti ya mombasa na ile ya kitaifa zimejipata katika njia panda kuhusu umiliki wa bandari. Lakini je umuhimu wa bandari ya mombasa kwa kaunti ya mombasa ni upi na je mbona kila mmoja atake kuiongoza bandari ya mombasa francis mtalaki analidadisi suala hili kindani.