×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakatoliki Mombasa watoa hisia kuhusu 'kukaidi kanisa katika upangaji uzazi'

27th July, 2018

Utafiti mpya umebaini kuwa  wakenya wengi wenye imani ya dini ya kikatoliki wanatumia mbinu za kisasa za kupanga uzazi licha ya marufuku ya kanisa hilo. Kwa mujibu wa utafiti huo wa shirika la Catholic FO Choice, wakatoliki watatu kati ya watano hawakubaliani na msimamo wa kanisa kuhusu matumizi ya tembe na njia nyingine za kisasa za kupanga uzazi.

Kupitia waraka wa papa paul wa 6, kanisa katoliki lilipiga marufuku matumizi ya mbinu hizo za kupanga uzazi miaka 50 iliyopita na kuruhusu tu matumizi ya njia za kiasili kupanga uzazi. Tunajiunga na profesa Joseph Karanja, mhadhiri na mtaalamu wa afya ya uzazi katika hospitali kuu ya Kenyatta hapa jijini Nairobi.

 

.
RELATED VIDEOS