23rd July, 2018
Familia moja mjini kisumu sasa inanyooshea kidole cha lawama hospitali ya rufaa ya kaunti ya Kisumu baada ya mtoto mwenye umri wa miaka miwili kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Martin curtis oyuga alikuwa akifanyiwa upasuaji wa kuirekebisha kasoro kwenye kitovu au umbilical hernia alipoaga katika chumba cha upasuaji.