×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Matingatinga kuanza ubomoaji wa nyumba katika mtaa wa Kibera

23rd July, 2018

Wakaazi wa mtaa wa Kibera jijini Nairobi wamepigwa na butwaa baada ya matingatinga kutoka  kwa halmashauri ya ujenzi wa barabara mashinani ?kura kuanza ubomoaji wa nyumba zilozojengwa katika eneo lililotengewa ujenzi wa barabara.wenyeji walikuwa wamepewa ilani ya kuondoka lakini baadhi yao wakapuuza.

.
RELATED VIDEOS