22nd July, 2018
Chama cha kutetea maslahi ya waalimu KNUT kimetoa ilani ya mgomo tarehe moja mwezi Septemba iwapo tume ya kuwaajiri waalimu TSC itashindwa kushughulikia malalamishi pamoja na mapendekezo yaliyotolewa na waalimu kuimarisha viwango vya elimu nchini. Katibu mkuu wa KNUT Wilson Sossion, amesema ni sharti tume ya TSC itekeleze mpango wa kuwapandisha ngazi zaidi ya waalimu alfu thelathini na kuondoa mikataba ya utendaji kazi.
Haya na mengine mengi katika makala ya Mbiu Wikendi