21st July, 2018
Huku serikali ikiendeleza mipango ya mafunzo ya ufundi hasa baada ya kubadili mfumo wa elimu, mwanamume mmoja mjini Eldoret amebuni kiti magurudumu baada ya kuchochewa na hisia zake za pekee inayosababishwa na hali ngumu kwa watu wanaoishi na ulemavu