20th July, 2018
Shughuli ya kuwafurusha wakaazi wa Msitu wa Maasai Mau unachukua mkondo tofauti sasa baada ya mbunge wa Narok North Moitalel Ole Kenta kuwaongoza wabunge wengine wa mrengo wa NASA katika kumkashifu seneta wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen kwa kile walichodai kuwa ni kulipaka tope jina la kiongozi wao Raila Odinga kwenye shughuli hiyo