17th July, 2018
Askofu mkuu wa kanisa la kianglikana, joseph ole sapit amezuru jimbo la mlima kenya magharibi na anatarajiwa kuzungumzia mgogo unaokumba kanisa hilo baada ya Askofu Joseph Kagunda kufikishwa mahakamani kwa hatua yake ya kuwasimamisha kazi makasisi watatu kwa madai kuwa wanashiriki mapenzi ya jinsia moja.