.
17th July, 2018
Asilimia kumi na saba nukta tano ya pato la taifa la Tanzania kwa mwaka 2016/2017 zilitokana na shughuli za utalii, kutokana na umuhimu wake taifa hilo la afrika mashariki limeandaa tamasha ya kwanza ili kuwavutia zaidi wananchi wake kujihusisha na utalii wa ndani.