Mwanamke auguza majeraha baada ya mume wake kumkata mkono baada ya mzozo
13th July, 2018
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka ishirini na miwili anauguza majeraha katika hospitali ya rufaa ya Homabay baada ya mumewe kumkata mkono kutokana na ubishi uliochangiwa na mwanamke huyo kutopata watoto kwenye ndoa