13th July, 2018
Katika Darubini ya siasa, tunaangazia uwajibikaji wa upinzani kukosoa serikali na uwajibikaji wa serikali ya Jubilee. Katibu mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna na mchambuzi wa siasa Dkt. Mukhwana Alutalala watoa maoni yao kuhusu swala hili