×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kaunti za Maeneo Kame yashinikiza serikali kuwapa Kima cha Kshs. 14 Billion

12th July, 2018

Kaunti za Maeneo Kame     ya Ukanda wa Kaskazini mwa nchi zimeendelea kuishinikiza serikali kuwapa Kima cha Shilingi bilioni 14 kutoka kwa Hazina ya Usawazishaji inayozuiwa na Wizara ya Fedha. Wakizungumza baada ya kuipokea kaunti ya Pokot Magharibi kwenye mkutano wa baraza la maendeleo ya kaunti hizo mjini naivasha, walitoa wito mpya wa kutolewa mara moja kwa fedha hizo ili kuendeleza maendeleo.

.
RELATED VIDEOS