10th July, 2018
Tume ya ardhi imesema kuwa inalenga kukamilisha kesi 400 kuhusu ardhi kote nchini kama njia mojawepo ya kusawazisha makosa yaliyotokea tangu enzi ya ukoloni. Makamishna wa tume hiyo samuel tororei na rose musyoki tayari wamefika katika kaunti ya nandi kuanzisha mikakati ya kuleta suluhu. Tunajiunga na mwandishi wetu elvis kosgei.