Mkufunzi wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji 15 Ian Snook afanya mabadiliko kwenye kikosi
5th July, 2018
Mkufunzi wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji 15 Ian Snook, amefanya mabadiliko manne kwenye kikosi ambacho kitapambana na Uganda katika mashindano ya gold cup. Kenya inapania ushindi wa tatu kwa mpigo kwenye michuano hiyo.