5th July, 2018
Mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja unusu anauguza majeraha mabaya baada ya madai ya kulawitiwa katika eneo la Baharini mjini Eldoret katika kaunti ya Uasin Ngishu. Wenyeji wanasema mtu aliyehusika na ulawiti huo anafahamika lakini aliachiliwa na polisi muda mfupi tu baada ya kukamatwa