4th July, 2018
Bunge la taifa limepitisha kwa kauli moja hoja ya kuundwa kwa vyuo vya mafunzo ili kukuza talanta katika kila eneo bunge.
Kipengele cha 33 sehemu ya (4) cha sheria ya michezo kinapendekeza kubuniwa kwa taasisi ya mafunzo kwa minajili ya kuunda vyuo vya kukuza talanta.