×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana wa Busia Sospeter Ojaamong asema madai ya ufisadi dhidi yake ni ya uongo

3rd July, 2018

Gavana wa kaunti ya Busia Sospeter Ojaamong amesema kwamba  madai  ya ufisadi dhidi yake ni ya uongo .Ojamoong anasema  kwamba  hajapokea ilani yoyote ya  kushtakiwa  kwake   kwa madai ya ufisadi katika kaunti hiyo . Mkurugenzi wa mashtaka ya umma  Noordin Hajj.  aliidhinisha kufunguliwa mashtaka dhidi ya gavana   huyo  kwa madai ya matumizi mabaya ya mamlaka. Inadaiwa kuwa Ojaamong alikiuka kanuni za utoaji zabuni  na hivyo kuisababishia kaunti ya Busia kupoteza mamilioni ya pesa. 

.
RELATED VIDEOS