×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jamaa amshambulia mpwa wake KieniI KTN MBIU

29th June, 2018

Simanzi imetanda eneo la Kieni kaunti ya Nyandarua baada ya mwanaume wa miaka 24 kudaiwa kumshambulia kwa panga mpwa wake wa umri wa miaka mitatu na kumuua. Stanely Kamau, ambaye ni babake mshukiwa anadai kupokea simu kutoka kwa majirani mwendo wa saa moja asubuhi kufahamishwa kuhusu kilichokuwa kikiendelea

 

.
RELATED VIDEOS