29th June, 2018
Simanzi imetanda eneo la Kieni kaunti ya Nyandarua baada ya mwanaume wa miaka 24 kudaiwa kumshambulia kwa panga mpwa wake wa umri wa miaka mitatu na kumuua. Stanely Kamau, ambaye ni babake mshukiwa anadai kupokea simu kutoka kwa majirani mwendo wa saa moja asubuhi kufahamishwa kuhusu kilichokuwa kikiendelea