.
26th June, 2018
Waziri wa mifugo na uvuvi kaunti ya Isiolo Benjamin Lopetet ametangaza kupigwa marufuku kwa usafirishaji wa mifugo kuingia na kutoka kaunti hiyo, marufuku ya uuzaji wa mifugo pamoja na kufungwa kwa soko, vichinjio na maduka ya kuuzia nyama kwa muda was siku 14.