Kamati ya bunge inayohusika na kilimo wahoji Rotich na Kiunjuri
25th June, 2018
Kamati ya bunge inayohusisha kamati za biashara na kilimo imeelezwa kuwa sukari nyingi kupita kiasi ilisafirishwa kuja nchini pasi na serikali kutoa maelezo kuhusu kiwango na aina ya sukari hiyo