×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Orengo na Lusaka waunga mkono mwito wa Rais Uhuru Kenyatta I Mbiu Wikendi

24th June, 2018

Mjadala kuhusu agizo la rais la kutaka mali ya maafisa na viongozi wa serikali kuchunguzwa  unazidi kushika kasi huku Spika wa bunge la senate Ken Lusaka na seneta wa kaunti ya siaya  James Orengo wakiunga mkono agizo hilo wakilitaja kuwa hatua muhimu katika kuutokomeza ufisadi nchini. Haya na habari zingine muhimu katika Mbiu Wikendi

 

.
RELATED VIDEOS