24th June, 2018
Mjadala kuhusu agizo la rais la kutaka mali ya maafisa na viongozi wa serikali kuchunguzwa unazidi kushika kasi huku Spika wa bunge la senate Ken Lusaka na seneta wa kaunti ya siaya James Orengo wakiunga mkono agizo hilo wakilitaja kuwa hatua muhimu katika kuutokomeza ufisadi nchini. Haya na habari zingine muhimu katika Mbiu Wikendi