Shule yatishiwa kufungwa karibuni kutokana na hali duni
22nd June, 2018
Masomo ya wanafunzi wa shule ya msingi ya mirira katika eneo la kigumo katika kaunti ya murang'a sasa yamesalia kwenye mizani baada ya maafisa kutoka wizara ya afya kutishia kuifunga shule hiyo kutokana nan hali duni ya afya