Upanzi wa Miti: Miche yapandwa kajiado
22nd June, 2018
Wakazi kaunti ya kajiado wamehimizwa kununua matenki ya
maji ili kuhifadhi maji ya kunyunyizia miche ambayo ilipandwa
msimu wa mvua. Wakizungumza katika hafla ya upanzi Miche
mia mbili katika shule ya msingi ya Orchard mjini Kitengela
maafisa wa nema wamesema wataanza mradi wa kukagua miti
inayofaa kila eneo humu nchini kutokana na hali ya anga, ili
wasiwe wanapanda miti bila kujua iwapo hali ya anga eneo
hilo itafaa