21st June, 2018
Mwanammke mmoja mwenye umri wa miaka28 amewashangaza wengi kwa kuwapa sumu wanawe watatu na kisha kujaribu kuwanyonga mmoja baada ya mwingine kabla ya kujitumbukiza katika mto na kujitoa uhai. Kisa hicho kimetokea katika kijiji cha Sumeek katika kaunti ya nakuru. mtoto mmoja mwenye umri wa miaka mitatu aliaga dunia huku wawili wakinusurika baada ya kupokea matibabu katika kliniki moja katika eneo hilo.