.
19th June, 2018
Wakazi wa kaunti ya Migori waliamkia tanzia ya seneta wa kaunti hiyo Ben Oluoch Okello baada ya kuugua saratani. Risala za rambirambi zilitolewa na jamaa na marafiki vilevile wanasiasa waliomtaja kama mtu mkarimu . Hii hapa taarifa kumhusu marehemu na hasa safari yake katika siasa.