Viongozi wa kaskazini mashariki wataka hatua kuchukuliwa kuimarisha usalama
18th June, 2018
Wabunge kutoka eneo la kaskazini mashariki wamelaani shambulizi la hivi punde ambalo limesababisha vifo vya maafisa wanane wa usalama katika kaunti ya wajir na kutaka hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuzuia mashambulizi zaidi