15th June, 2018
Raia waliojawa na hasira walimvamia na kumpiga hadi kufa
mwanamume mmoja mwenye umri wa makamo katika eneo la
car wash mjini Kisumu kwa madai kuwa alihusika katika kifo
cha msichana mmoja ndani ya nyumba yake. Inadaiwa
mshukiwa huyo alikuwa akijaribu kutoroka baada ya kumuua