×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Passaris ataka fedha, mali za washukiwa wa ufisadi kuchukuliwa

13th June, 2018

Mwakilishi wa kike katika kaunti ya  Nairobi Esther Passaris amevitaka vyombo vya ujasusi  kuzichukua fedha na  mali kutoka kwa wanaoshukiwa kuiba  mali ya umma Passaris amesema kwamba   fedha nyingi zilizoibwa kutoka  kwa idara za serikali kama vile NYS zingesaidia kuleta  maendeleo  mashinani . Passaris aliyekuwa akizungumza katika eneo la Babadogo jijini Nairobi amesema kuwa wafisadi hawafai kuruhusiwa kusherehekea  mali ya umma . 

 

.
RELATED VIDEOS