×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mkasa wa bwawa la Solai: Jopo la kuwasaidia waathiriwa labuniwa

13th June, 2018

Jopo litakalojumuisha mashirika mbali mbali limebuniwa kuwasaidia waathiriwa wa mkasa wa kuporomoka kwa bwawa la Patel katika eneo la Solai kaunti ya Nakuru kurejelea maisha yao ya kawaida.  Bwawa hilo lilivunja kingo zake mwezi mmoja uliopita na kusababisha vifo vya watu 47 na kuacha uharibifu mkubwa wa mali kundi la maafisa kutoka serikali ya kaunti likiongozwa na gavana Lee Kinyanjui na kamishna wa jimbo hilo Mongo Chimwanga limewaambia waathiriwa wa mkasa huo kwamba  wote watapigwa msasa ili kukadiria wanaohitaji msaada 

 

.
RELATED VIDEOS