9th June, 2018
Polisi mjini Eldoret leo wamefanya msako dhidi ya watu wanaofanya biashara haramu ya mafuta. Maafisa hao waliojumuisha washiriki kutoka katika asasi mbalimbali pamoja na tume ya kuratibu kawi walivamia vituo vinavyodhaniwa kuwa vilikuwa vikiendesha biashara ya mafuta kinyume cha sheria.