×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanabodaboda Kisii waonya polisi dhidi ya 'kuwahangaisha' na kuwashika ovyo ovyo

27th May, 2018

Wahudumu wa bodaboda katika kaunti ya  Kisii wametaoa makataa ya siku tano kwa polisi kukomesha kukamatwa ovyo ovyo kwa  wenzao la sivyo watandaa maandamano kila siku na kusambaratisha shughuli za usafiri . Wakizungumza na wanahabari muungano wa kaunti wa wanabodaboda ukiongozwa na  Gisore Orechi wamewalaumu maafisa wa polisi katika kaunti ya Kisii ambao kwa madai kuwa wamekuwa wakichukua hongo. Orechi amedai kuwa zaidi ya wanabodaboda 100 wamekamatwa na maafisa wa polisi katika barabara ya kisii ? Kilgoris

.
RELATED VIDEOS