×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali na KVDA zakubaliana kujenga mabwawa ya Aror na Kimwaror Elgeyo Marakwet

26th May, 2018

Wadau wakuu hasa viongozi  wa serikali kuu na wale wa kaunti ya Elgeyo Marakwet pamoja na halmashauri ya ustawi ya KVDA wameahidi kuweka kando na tofauti zao na kuhakikisha miradi mikuu ya  umeme na maji katika mabwawa ya aror na Kimwarer yanafanikishwa bila fujo. Wakiongozwa na waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa, seneta wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen na afisa mkuu mtendaji wa KVDA David Kimosop viongozi hao waliwataka wakazi kuridhia mradi huo ambao unalenga kutoa ajira kwa zaidi ya watu 2000. Mradi wa Kimwarer na Aror utaigharimu serikali bilioni 63 huku bilioni 6.3 itatumika kufidia wenyeji wa pande hizo. Awali palizuka mzozo kuhusiana na malengo ya mradi huo 

 

.
RELATED VIDEOS