×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Uhalifu Machakos:Jamaa mmoja anakabiliwa na tuhuma za uwizi wa Bodaboda

25th May, 2018

        Biashara za uchukuzi wa bodaboda zilizsimama kwa muda

        katika mji wa Machakos kufuatia mkutano wa dharura na

         mkuu wa kituo cha polisi cha Machakos na mwenyekiti wao

        allan musembi kuhusu matukio ya wizi wa pikipiki katika eneo

        hilo wakizungumza na wanahabari wakati

        walipokuwa wakijadiliana  jinsi ya  kukabiliana na wizi huo ,

        mwenyekiti wa muungano wa waendeshaji bodaboda

         wamewataka waendeshaji bodaboda  kuhakikisha  kwamba

        wanajuana ili kuwa rahisi kuwanasa wezi .Waendeshaji

        pikipiki wanadai kuwa hali hiyo imekuwa ikiendelea kwa muda

            sasa 

.
RELATED VIDEOS