25th May, 2018
Taasisi ya Ufundi ya Kadenge katika kaunti ya Migori
kitaanza shughuli za mafunzo kwa wanafunzi baada ya
kupokea vifa vya thamani ya shilingi milioni mia moja kutoka
kwa serikali ya uchinataasisi hiyo ni miongoni
mwa taasisi 134 kote nchini zitazotoa mafunzo ya kiufundi
kwa vijana . wakizungumza wakati wa kupokea vifaa hivyo ,
katibu katika wizara ya ugatuzi Nelson Marwa amesema
kwamba serikali ya kenya ikishirikiana na serikali ya uchina
inamipango ya kujenga na kutoa vifaa kwa taasisi hizo