Elimu Ya Msichana yaimizwa Lamu
25th May, 2018
Kampeni ya Kitaifa ya elimu ya msichana imeshika kasi katika
kaunti ya lamu viongozi wakiongozw na
mwakilishi wa kike katika kaunti hiyo ruweida mohammed
walianzisha mradi wa kutoa taulo za sodo kwa wanafunzi
wa kike katika shule zote za kaunti ya lamu .Katika
shughuli hiyo viongozi waliwalaumu wazazi kwa kushindwa
kuwapa mafunzo yanayofa watoto wa kike wanapo balekhe